Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Mark 7:6, »This people honoureth me with their lips...«

6 mistari · 252 vipengele

Mistari kuhusu Mark 7:6, »This people honoureth me with their lips...«

  1. Bwana anasema: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao na kuniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami. Ibada yao kwangu inatokana na maagizo waliyofundishwa na wanadamu.

  2. Ninyi wanafiki! Isaya alikuwa sawa alipotabiri juu yenu kwamba:

  3. “ ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.

  4. Huniabudu bure; nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’ ”

  5. Yesu akawajibu, “Nabii Isaya alisema ukweli alipotabiri juu yenu, ninyi wanafiki. Kama ilivyoandikwa: “ ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.

  6. Huniabudu bure, nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’