Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: 1 Peter 2:7, »...the stone which the builders disallowed...«

3 mistari · 252 vipengele

Mistari kuhusu 1 Peter 2:7, »...the stone which the builders disallowed...«

  1. Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.

  2. naye atakuwa mahali patakatifu; lakini kwa nyumba zote mbili za Israeli atakuwa jiwe lile linalosababisha watu kujikwaa na mwamba wa kuwaangusha. Kwa watu wa Yerusalemu, atakuwa mtego na tanzi.

  3. Kwenu ninyi mnaoamini, jiwe hili ni la thamani. Lakini kwao wasioamini, “Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni,”