Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Matthew 9:13, »I will have mercy, and not sacrifice.«
Mistari kuhusu Matthew 9:13, »I will have mercy, and not sacrifice.«
Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu, kumkubali Mungu zaidi kuliko sadaka za kuteketezwa.
Nendeni mkajifunze maana ya maneno haya: ‘Nataka rehema, wala si dhabihu.’ Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.”
Kama mngekuwa mmejua maana ya maneno haya, ‘Nataka rehema, wala si dhabihu,’ msingewalaumu watu wasio na hatia,