Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Matthew 21:42, »The stone which the builders rejected...«

6 mistari · 252 vipengele

Mistari kuhusu Matthew 21:42, »The stone which the builders rejected...«

  1. Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.

  2. Bwana ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.

  3. Yesu akawaambia, “Je, hamjasoma katika Maandiko kwamba: “ ‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni. Bwana ndiye alitenda jambo hili, nalo ni la ajabu machoni petu’?

  4. Je, hamjasoma Andiko hili: “ ‘Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni;

  5. Lakini Yesu akawakazia macho, akasema, “Basi ni nini maana ya yale yaliyoandikwa: “ ‘Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni’?

  6. Huyu ndiye “ ‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilikataa, ambalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’