Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Acts 13:34, »I will give you the sure mercies of David.«
Mistari kuhusu Acts 13:34, »I will give you the sure mercies of David.«
Tegeni sikio mje kwangu, nisikieni mimi, ili nafsi zenu zipate kuishi. Nitafanya agano la milele nanyi, pendo la uaminifu nililomwahidi Daudi.
Kwa kuwa Mungu alimfufua kutoka kwa wafu asioze kamwe, alitamka maneno haya: “ ‘Nitakupa wewe baraka takatifu zilizo za hakika nilizomwahidi Daudi.’