Random Bible Verse

Neno
6,597 kati ya 31,102
Akawaagiza, “Nifuateni, kwa kuwa Bwana amewatia Moabu, adui zenu, mikononi mwenu.” Kwa hiyo wakateremka wakamfuata, wakavishika vivuko vya Yordani kuelekea Moabu, wala hawakuacha mtu yeyote kuvuka.
Waamuzi 3:28
Ehudi Awaokoa Israeli kutoka Moabu
100%
Hisia ya Mstari

Inatumika kwa mstari wako unaofuata

Soma
100%
Aina ya herufi
Hisia ya Mstari

Inatumika kwa mstari wako unaofuata

I. Katika muktadha Vifungu 5,439 · Sura 1,189
Fungu Hili Waamuzi 3:12-30
12 Waisraeli wakafanya maovu mbele za Bwana tena, kwa kuwa walifanya maovu hayo Bwana akamtia nguvu Egloni mfalme wa Moabu dhidi ya Israeli.
13 Egloni akawataka Waamoni na Waamaleki waungane naye, akaja kuishambulia Israeli, nao wakatwaa Mji wa Mitende
+ 17 more verses · Waamuzi 3:12-30
Fungua
Sura Hii Waamuzi 3
1 Haya ndiyo mataifa Bwana aliyoyaacha ili kuwajaribu Waisraeli wote ambao hawakujua vita vyovyote vya Kanaani
2 (alifanya hivi ili tu kuwafundisha wazao wa Waisraeli ambao hawakuwa wamejua vita hapo awali):
3 wafalme watano wa Wafilisti, Wakanaani wote, Wasidoni, Wahivi waishio katika milima ya Lebanoni kuanzia Mlima wa Baal-Hermoni hadi Lebo-Hamathi.
+ 28 more · Waamuzi 3
Fungua
III. Ichambue Zana 4 za kujifunza

Nyuma ya kila mstari kwenye tovuti hii kuna seti ya kujifunza Biblia bila malipo — Strong's, marejeo-mtambuka, ufafanuzi wa Matthew Henry, mwalimu wa AI anayetaja vyanzo vyake, mafundisho ya ibada, uchunguzi wa kina wa mada. Usisome mstari tu. Uchambue.

IV. Nenda nayo programu na kiendelezi