Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Matthew 27:35, »They parted my garments...«

3 mistari · 252 vipengele

Mistari kuhusu Matthew 27:35, »They parted my garments...«

  1. Wanagawana nguo zangu wao kwa wao, na vazi langu wanalipigia kura.

  2. Walipokwisha kumsulubisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura. [Hili lilifanyika ili litimie lile neno lililonenwa na nabii, “Waligawa nguo zangu miongoni mwao na vazi langu wakalipigia kura.”]

  3. Wakaambiana, “Tusilichane ila tulipigie kura ili kuamua ni nani atalichukua.” Hili lilitukia ili Maandiko yapate kutimizwa yale yaliyosema, “Wanagawana nguo zangu, na vazi langu wanalipigia kura.” Hayo ndiyo waliyoyafanya wale askari.