Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Hebrews 10:30, »The Lord shall judge his people.«
Mistari kuhusu Hebrews 10:30, »The Lord shall judge his people.«
Bwana atawahukumu watu wake, na kuwahurumia watumishi wake atakapoona nguvu zao zimekwisha wala hakuna yeyote aliyebaki, mtumwa au aliye huru.
Kwa kuwa tunamjua yeye aliyesema, “Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza.” Tena asema, “Bwana atawahukumu watu wake.”