Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: 1 Timothy 5:18, »Thou shalt not muzzle the ox...«
Mistari kuhusu 1 Timothy 5:18, »Thou shalt not muzzle the ox...«
Usimfunge maksai kinywa anapopura nafaka.
Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Mose: “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka.” Je, Mungu hapa anahusika na ngʼombe?
Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”