Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Acts 13:35, »Thou shalt not suffer thine Holy One...«
Mistari kuhusu Acts 13:35, »Thou shalt not suffer thine Holy One...«
kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu.
Kama ilivyosemwa mahali pengine katika Zaburi, “ ‘Hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.’