Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Acts 4:25, »Why did the heathen rage...«

4 mistari · 252 vipengele

Mistari kuhusu Acts 4:25, »Why did the heathen rage...«

  1. Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?

  2. Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.

  3. Wewe ulisema kwa Roho Mtakatifu kupitia kwa kinywa cha baba yetu Daudi, mtumishi wako, ukasema: “ ‘Mbona mataifa wanaghadhibika, na kabila za watu zinawaza ubatili?

  4. Wafalme wa dunia wamejipanga, na watawala wanakusanyika pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.’