Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Hebrews 4:4, »God did rest the seventh day...«

3 mistari · 252 vipengele

Mistari kuhusu Hebrews 4:4, »God did rest the seventh day...«

  1. Katika siku ya saba Mungu alikuwa amekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya, hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazi zake zote.

  2. Kwa kuwa kwa siku sita, Bwana aliumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo, lakini akapumzika siku ya saba. Kwa hiyo Bwana akaibariki siku ya Sabato na kuifanya takatifu.

  3. Kwa maana mahali fulani amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: “Katika siku ya saba Mungu alipumzika kutoka kazi zake zote.”