Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Romans 9:29, »Except the Lord of Sabaoth had left us a seed...«
Mistari kuhusu Romans 9:29, »Except the Lord of Sabaoth had left us a seed...«
Kama Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asingelituachia walionusurika, tungelikuwa kama Sodoma, tungelifanana na Gomora.
Ni kama vile alivyotabiri Isaya akisema: “Kama Bwana Mwenye Nguvu Zote asingelituachia uzao, tungelikuwa kama Sodoma, tungelifanana na Gomora.”