Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Matthew 5:31, »Whosoever shall put away his wife...«
Mistari kuhusu Matthew 5:31, »Whosoever shall put away his wife...«
Ikiwa mtu atamwoa mke na akamchukia kwa sababu ya kukosa adabu, naye akamwandikia hati ya talaka, akampa na kumfukuza kutoka nyumbani kwake,
“Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’