Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: John 19:24, »They parted my raiment among them...«
Mistari kuhusu John 19:24, »They parted my raiment among them...«
Wanagawana nguo zangu wao kwa wao, na vazi langu wanalipigia kura.
Walipokwisha kumsulubisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura. [Hili lilifanyika ili litimie lile neno lililonenwa na nabii, “Waligawa nguo zangu miongoni mwao na vazi langu wakalipigia kura.”]
Wakaambiana, “Tusilichane ila tulipigie kura ili kuamua ni nani atalichukua.” Hili lilitukia ili Maandiko yapate kutimizwa yale yaliyosema, “Wanagawana nguo zangu, na vazi langu wanalipigia kura.” Hayo ndiyo waliyoyafanya wale askari.