Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Romans 10:5, »That the man which doeth those things...«
Mistari kuhusu Romans 10:5, »That the man which doeth those things...«
Zishikeni amri zangu na sheria zangu, kwa maana mtu anayezitii ataishi kwa hizo. Mimi ndimi Bwana.
Mose anaandika kuhusu haki ile itokanayo na sheria, kwamba, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.”