Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Quotations and Allusions: Hebrews 10:38, »Now the just shall live by faith.«

4 mistari · 252 vipengele

Mistari kuhusu Hebrews 10:38, »Now the just shall live by faith.«

  1. “Tazama, amejaa majivuno; anavyovitamani si vya unyofu: lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake:

  2. Kwa maana katika Injili haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa, haki ile iliyo kwa njia ya imani hadi imani. Kama ilivyoandikwa: “Mwenye haki ataishi kwa imani.”

  3. Basi ni dhahiri kwamba hakuna mtu anayehesabiwa haki mbele za Mungu kwa kushikilia sheria, kwa maana, “Mwenye haki ataishi kwa imani.”

  4. Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani. Naye kama akisitasita, sina furaha naye.”