- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Mistari ya Biblia kuhusu Psalms
Mistari muhimu ya Biblia
Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.
Wimbo wa kwenda juu. Nayainua macho yangu nitazame vilima, msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu hutoka kwa Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Hatauacha mguu wako uteleze, yeye akulindaye hatasinzia,
hakika, yeye alindaye Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi.
Bwana anakulinda, Bwana ni uvuli wako mkono wako wa kuume,