- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Mistari ya Biblia kuhusu Righteousness
Mistari muhimu ya Biblia
Mtwike Bwana fadhaa zako, naye atakutegemeza, hatamwacha kamwe mwenye haki wake aanguke.
Wenye haki na wafurahi katika Bwana, na wakimbilie kwake; wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!
Atawaamua watu wako kwa haki, watu wako walioonewa kwa haki.
Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki, wewe umethibitisha adili; katika Yakobo umefanya yaliyo haki na sawa.
Sitaweka mbele ya macho yangu kitu kiovu. Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani; hawatashikamana nami.
Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami; nitajitenga na kila ubaya.
Heri wale wanaodumisha haki, ambao daima wanafanya yaliyo mema.
Mara nyingi aliwaokoa lakini walikuwa wamezama kwenye uasi, nao wakajiharibu katika dhambi zao.
Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki.
Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami, lakini wako mbali na sheria yako.
Makuhani wako na wavikwe haki, watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”
Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
ndipo utakapoelewa kumcha Bwana na kupata maarifa ya Mungu.
Kwa maana Bwana hutoa hekima, na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.
Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu, yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,
kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.
Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki na sawa: yaani kila njia nzuri.
Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako, nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.
Busara itakuhifadhi na ufahamu utakulinda.