Mistari ya Biblia kuhusu Righteousness: Garment of
Mistari kuhusu Garment of
Niliivaa haki kama vazi langu; uadilifu ulikuwa joho langu na kilemba changu.
“Lakini mfalme alipoingia ndani ili kuwaona wageni, akamwona mle mtu mmoja ambaye hakuwa amevaa vazi la arusi.
Mfalme akamuuliza, ‘Rafiki, uliingiaje humu bila vazi la arusi?’ Yule mtu hakuwa na la kusema.
“Ndipo mfalme akawaambia watumishi wake, ‘Mfungeni mikono na miguu mkamtupe nje, kwenye giza. Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.’
“Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”