Mistari ya Biblia kuhusu Righteousness: Are loved by God
Mistari kuhusu Are loved by God
Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
Bwana huchukia sana njia ya waovu, bali huwapenda wale wafuatao haki.