Mistari ya Biblia kuhusu Righteousness: Shall never be moved
Mistari kuhusu Shall never be moved
Ni yule aendaye pasipo mawaa, atendaye yaliyo haki, asemaye kweli toka moyoni mwake,
Yeye akopeshaye fedha yake bila riba, na hapokei rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia. Mtu afanyaye haya kamwe hatatikisika.
Mtwike Bwana fadhaa zako, naye atakutegemeza, hatamwacha kamwe mwenye haki wake aanguke.
Kamwe wenye haki hawataondolewa, bali waovu hawatasalia katika nchi.
Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.