Mistari ya Biblia kuhusu Righteousness: Is obedience to God's law
Mistari kuhusu Is obedience to God's law
Kama tukizitii kwa bidii amri hizi zote mbele za Bwana Mungu wetu, kama alivyotuamuru sisi, hiyo itakuwa haki yetu.”
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
Zekaria na Elizabeti mkewe wote walikuwa watu wanyofu mbele za Mungu, wakizishika amri zote za Bwana na maagizo yote bila lawama.
Mose anaandika kuhusu haki ile itokanayo na sheria, kwamba, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.”