Mistari ya Biblia kuhusu Righteousness: None, by nature have
Mistari kuhusu None, by nature have
“Mwanadamu ni kitu gani, hata aweze kuwa safi, au yeye aliyezaliwa na mwanamke, hata aweze kuwa mwadilifu?
Wote wamepotoka, wameharibika wote pamoja, hakuna atendaye mema. Naam, hakuna hata mmoja!
Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.