Mistari ya Biblia kuhusu Agriculture or Husbandry: Watering
Mistari kuhusu Watering
Nchi mnayoiingia kuimiliki haifanani na nchi ya Misri mlikotoka ambako mlipanda mbegu yenu na kuinywesha, kama bustani ya mboga.
Mimi nilipanda mbegu, Apolo akatia maji, lakini Mungu ndiye aliikuza.
Hivyo mwenye kupanda na mwenye kutia maji si kitu, bali Mungu peke yake ambaye huifanya ikue.
Apandaye mbegu ana lengo sawa na yule atiaye maji na kila mmoja atalipwa kulingana na kazi yake.