Mistari ya Biblia kuhusu Agriculture or Husbandry: Separation from other nations
Mistari kuhusu Separation from other nations
Mtu yeyote atajuaje kuwa mimi pamoja na watu wako tumepata kibali mbele zako, usipokwenda pamoja nasi? Ni nini kingine kitakachoweza kututofautisha mimi na watu wako miongoni mwa watu wengine wote walio katika uso wa dunia?”