Mistari ya Biblia kuhusu Agriculture or Husbandry: Not to covet the fields of another
Mistari kuhusu Not to covet the fields of another
Usitamani mke wa jirani yako. Usitamani nyumba ya jirani yako au shamba lake, mtumishi wake wa kiume au wa kike, ngʼombe au punda wake, wala kitu chochote cha jirani yako.”