Mistari ya Biblia kuhusu Agriculture or Husbandry: Against the trespass of cattle
Mistari kuhusu Against the trespass of cattle
“Kama mtu akichunga mifugo yake katika shamba au shamba la mizabibu, na akawaachia wajilishe katika shamba la mtu mwingine, ni lazima alipe vitu bora kutoka kwenye shamba lake mwenyewe au kutoka shamba lake la mizabibu.