Mistari ya Biblia kuhusu Agriculture or Husbandry: Sowing
Mistari kuhusu Sowing
Yeyote atazamaye upepo hatapanda, yeyote aangaliaye mawingu hatavuna.
tazama jinsi utakavyobarikiwa, ukipanda mbegu yako katika kila kijito, na kuwaacha ngʼombe wako na punda wajilishe kwa uhuru.
Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.