- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Mistari ya Biblia kuhusu Afflictions and Adversities
Mistari muhimu ya Biblia
Bwana huwasikia wahitaji wala hadharau watu wake waliotekwa.
Ingawa umenifanya nipate taabu, nyingi na chungu, utanihuisha tena, kutoka vilindi vya dunia utaniinua tena.
Mwili na moyo wangu vyaweza kushindwa, bali Mungu ni nguvu ya moyo wangu na fungu langu milele.
hasira ya Mungu ikawaka juu yao, akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao, akiwaangusha vijana wa Israeli.
Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi, licha ya maajabu yake, hawakuamini.
Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili na miaka yao katika vitisho.
Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao, waliosalia walimtafuta, walimgeukia tena kwa shauku.
Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana, katika vina vya giza nene.
Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu, umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.
Ghadhabu yako imepita juu yangu; hofu zako zimeniangamiza.
Lakini wewe umemkataa, umemdharau, umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.
Umelikana agano lako na mtumishi wako, na umeinajisi taji yake mavumbini.
Umebomoa kuta zake zote, na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.
Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake; amekuwa dharau kwa jirani zake.
Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake, umewafanya watesi wake wote washangilie.
Umegeuza makali ya upanga wake, na hukumpa msaada katika vita.
Umeikomesha fahari yake, na kukiangusha kiti chake cha enzi.
Umezifupisha siku za ujana wake, umemfunika kwa vazi la aibu.
Tumeangamizwa kwa hasira yako na tumetishwa kwa ghadhabu yako.
Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu, kulingana na miaka tuliyotaabika.
Ee Bwana, heri mtu anayeadhibishwa na wewe, mtu unayemfundisha kwa sheria yako,
unampa utulivu siku za shida, mpaka shimo litakapokuwa limechimbwa kwa ajili ya mwovu.
Kama Bwana asingelinisaidia upesi, ningelikuwa ninaishi katika ukimya wa kifo.
Niliposema, “Mguu wangu unateleza,” Ee Bwana, upendo wako ulinishikilia.
Wakati wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu, faraja yako ilinipa furaha nafsini mwangu.