- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Creation Era
The Tower of Babel
Scattered nations and confused languages mark the beginning of the diversity of peoples across the earth.
Mistari ya kipindi hiki
Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
- Mwanzo 10:4takriban 2338 KK
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
- Mwanzo 10:5takriban 2247 KK
(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
- Mwanzo 10:6takriban 2228 KK
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
- Mwanzo 10:7takriban 2228 KK
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
- Mwanzo 10:8takriban 2289 KK
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
- Mwanzo 10:9takriban 2289 KK
Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
- Mwanzo 10:10takriban 2259 KK
Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
- Mwanzo 10:11takriban 2304 KK
Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
- Mwanzo 10:12takriban 2304 KK
na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
- Mwanzo 10:13takriban 2304 KK
Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
- Mwanzo 10:14takriban 2304 KK
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
- Mwanzo 10:15takriban 2304 KK
Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
- Mwanzo 10:16takriban 2304 KK
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
- Mwanzo 10:17takriban 2304 KK
Wahivi, Waariki, Wasini,
- Mwanzo 10:18takriban 2304 KK
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
- Mwanzo 10:19takriban 2304 KK
na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
- Mwanzo 10:20takriban 2304 KK
Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
- Mwanzo 10:21takriban 2304 KK
Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
- Mwanzo 10:22takriban 2304 KK
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
- Mwanzo 10:23takriban 2304 KK
Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
- Mwanzo 10:24takriban 2304 KK
Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
- Mwanzo 10:25takriban 2247 KK
Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.