Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Prayer: Answer to prayer, delayed

8 mistari · 120 vipengele

Mistari kuhusu Answer to prayer, delayed

  1. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi. Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa? Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?

  2. Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.

  3. Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Nilimngoja Bwana kwa saburi, naye akaniinamia, akasikia kilio changu.

  4. Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi dhidi ya maombi ya watu wako?

  5. Ee Bwana, kwa nini unanikataa na kunificha uso wako?

  6. Baada ya siku kumi, neno la Bwana likamjia Yeremia.

  7. Ee Bwana, hata lini nitakuomba msaada, lakini wewe husikilizi? Au kukulilia, “Udhalimu!” Lakini hutaki kuokoa?

  8. Je, Mungu hatawatendea haki wateule wake wanaomlilia usiku na mchana? Je, atakawia kuwasaidia?