Mistari ya Biblia kuhusu Prayer: Praying thrice daily
Mistari kuhusu Praying thrice daily
Jioni, asubuhi na adhuhuri ninalia kwa huzuni, naye husikia sauti yangu.
Basi Danieli alipofahamu kuwa amri ile imetangazwa, alikwenda nyumbani kwenye chumba chake cha ghorofani ambako madirisha yalifunguka kuelekea Yerusalemu. Akapiga magoti na kuomba mara tatu kwa siku, akimshukuru Mungu wake kama alivyokuwa akifanya mwanzoni.