Mistari ya Biblia kuhusu Prayer: Kneeling
Mistari kuhusu Kneeling
Basi Solomoni alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano na kimo chake dhiraa tatu, naye akaliweka katikati ya ukumbi wa nje. Akapanda juu ya hilo jukwaa kisha akapiga magoti mbele ya kusanyiko lote la Israeli, akanyoosha mikono yake kwelekea mbinguni.
Njooni, tusujudu, tumwabudu, tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu,
Akajitenga nao kama umbali wa kutupa jiwe, akapiga magoti, akaomba
Paulo alipomaliza kusema haya akapiga magoti pamoja nao wote akaomba.