Mistari ya Biblia kuhusu Prayer: Fasting
Mistari kuhusu Fasting
Niliposikia mambo haya, niliketi, nikalia. Kwa siku kadhaa niliomboleza na kufunga na kuomba mbele za Mungu wa mbinguni.
Kwa hiyo nikamgeukia Bwana Mungu na kumsihi katika maombi na dua, katika kufunga, na kuvaa nguo ya gunia na kujipaka majivu.
Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.