Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Prayer: Fasting

3 mistari · 120 vipengele

Mistari kuhusu Fasting

  1. Niliposikia mambo haya, niliketi, nikalia. Kwa siku kadhaa niliomboleza na kufunga na kuomba mbele za Mungu wa mbinguni.

  2. Kwa hiyo nikamgeukia Bwana Mungu na kumsihi katika maombi na dua, katika kufunga, na kuvaa nguo ya gunia na kujipaka majivu.

  3. Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.