Mistari ya Biblia kuhusu Prayer: Ostentation in, forbidden
Mistari kuhusu Ostentation in, forbidden
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.