Mistari ya Biblia kuhusu Prayer: Praying in a loud voice, satirized by Elijah
Mistari kuhusu Praying in a loud voice, satirized by Elijah
Wakati wa adhuhuri, Eliya akaanza kuwadhihaki, akisema, “Pigeni kelele zaidi! Hakika yeye ni mungu! Labda amezama katika mawazo mazito, au ana shughuli nyingi, au amesafiri. Labda amelala usingizi mzito, naye ni lazima aamshwe.”