Mistari ya Biblia kuhusu Prayer: In faith
Mistari kuhusu In faith
Yoyote mtakayoyaomba mkisali na mkiamini, mtayapokea.”
Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, lililochukuliwa na upepo na kutupwa huku na huku.