Mistari ya Biblia kuhusu Prayer: Calling upon the name of the Lord
Mistari kuhusu Calling upon the name of the Lord
Kutoka huko Abramu akasafiri kuelekea kwenye vilima mashariki ya Betheli, naye akapiga hema huko, Betheli ikiwa upande wa magharibi na Ai upande wa mashariki. Huko alimjengea Bwana madhabahu na akaliitia jina la Bwana.
Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
Sasa basi, mbona unakawia? Inuka, ukabatizwe na dhambi zako zikasafishwe, ukiliita Jina lake.’