- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Mistari ya Biblia kuhusu Levites
Mistari muhimu ya Biblia
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
wazao wa Nesia na Hatifa.
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
Basi niliwaita Eliezeri, Arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu, Elnathani, Nathani, Zekaria na Meshulamu waliokuwa viongozi na Yoyaribu na Elnathani waliokuwa wasomi,