Mistari ya Biblia kuhusu Levites: Sedition among, led by Korah, Dathan, Abiram, and On, on account of jealousy toward Moses and Aaron
Mistari kuhusu Sedition among, led by Korah, Dathan, Abiram, and On, on account of jealousy toward Moses and Aaron
Ili wapate kuishi wala wasife wanapokaribia vitu vitakatifu sana, uwafanyie hivi: Aroni na wanawe watakwenda mahali patakatifu na kumgawia kila mtu kazi yake, na kwamba ni nini atakachochukua.
Lakini Wakohathi hawaruhusiwi kuingia ndani ili kuangalia vitu vitakatifu, hata kwa kitambo kidogo, la sivyo watakufa.”