Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Levites

186 mistari · 17 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

Chuja kwa kitabu
  1. Magpiashi, Meshulamu, Heziri,

  2. Meshezabeli, Sadoki, Yadua,

  3. Pelatia, Hanani, Anaya,

  4. Hoshea, Hanania, Hashubu,

  5. Haloheshi, Pilha, Shobeki,

  6. Rehumu, Hashabna, Maaseya,

  7. Ahiya, Hanani, Anani,

  8. Maluki, Harimu na Baana.

  9. “Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,

  10. Nanyi mtajua kuwa nimewapelekea onyo hili ili kwamba Agano langu na Lawi lipate kuendelea,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

  11. “Agano langu lilikuwa pamoja naye, agano la uhai na amani, nami nilimpa yote, ili aniche na kuniheshimu, naye akaniheshimu na kusimama akilicha Jina langu.