Skip to content

Gershon

25 mistari · 6 wanafamilia

Anajulikana pia kama: Gershom

Mistari inayomtaja Gershon

  1. Wana wa Lawi ni: Gershoni, Kohathi na Merari.

  2. Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi kufuatana na orodha zao: Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi miaka 137.

  3. Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa Libni na Shimei.

  4. Haya yalikuwa majina ya wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.

  5. Haya ndiyo yaliyokuwa majina ya koo za Wagershoni: Libni na Shimei.

  6. Kulikuwa na koo za Walibni na Washimei kwa Gershoni; hizi ndizo zilizokuwa koo za Wagershoni.

  7. Katika Hema la Kukutania, Wagershoni walikuwa na wajibu wa kutunza Maskani na hema, vifuniko vyake, pazia katika mlango wa kuingilia ndani ya Hema la Kukutania,

  8. “Wahesabu pia Wagershoni kwa jamaa zao na koo zao.

  9. Hii ndiyo huduma ya koo za Wagershoni katika Hema la Kukutania. Wajibu wao utakuwa chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani Aroni.

  10. Wagershoni walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

  11. Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za Gershoni ambao walitumika katika Hema la Kukutania. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatana na amri ya Bwana.

  12. Aliwapa Wagershoni magari mawili ya kukokotwa na maksai wanne, kama walivyohitaji kwa kazi yao,

  13. Ndipo Maskani iliposhushwa, nao wana wa Gershoni na wana wa Merari ambao waliibeba wakaondoka.

  14. Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao: kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni; kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi; kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.

  15. Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.

  16. Koo za Walawi za Wagershoni walipewa: kutoka nusu ya kabila la Manase, Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;

  17. Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.

  18. Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.

  19. Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.

  20. Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,

  21. mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.

  22. Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.

  23. Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.

  24. Kutoka wazao wa Gershoni, Yoeli kiongozi na ndugu zake 130.

  25. Daudi akawagawa Walawi katika makundi kufuatana na wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.