Laadan
Anajulikana pia kama: Libni, Jahath
Mistari inayomtaja Laadan
Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa Libni na Shimei.
Haya ndiyo yaliyokuwa majina ya koo za Wagershoni: Libni na Shimei.
Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
Wana wa Wagershoni walikuwa wawili: Ladani na Shimei.
Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.
Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomothi, Hazieli na Harani. Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.
Wazao wa Ladani, waliokuwa Wagershoni kupitia Ladani na waliokuwa viongozi wa jamaa za Ladani Mgershoni, walikuwa Yehieli,