Mistari ya Biblia kuhusu Laadan
Mistari muhimu ya Biblia
Wana wa Wagershoni walikuwa wawili: Ladani na Shimei.
Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.
Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomothi, Hazieli na Harani. Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.