Mistari ya Biblia kuhusu Laadan: 2. A Levite, called Libni
Mistari kuhusu 2. A Levite, called Libni
Wana wa Wagershoni walikuwa wawili: Ladani na Shimei.
Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.
Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomothi, Hazieli na Harani. Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.