- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
circa 1010–970 BC
The Reign of David
David unites the tribes, conquers Jerusalem, and establishes Israel's golden age—even through deep personal failure.
Mistari ya kipindi hiki
- 1 Nyakati 23:32takriban 1015 KK
Hivyo Walawi wakafanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, katika Mahali Patakatifu chini ya uongozi wa ndugu zao wazao wa Aroni, kwa ajili ya utumishi katika Hekalu la Bwana.
- 1 Nyakati 24:1takriban 1015 KK
Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
- 1 Nyakati 24:2takriban 1015 KK
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani.
- 1 Nyakati 24:3takriban 1015 KK
Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao.
- 1 Nyakati 24:4takriban 1015 KK
Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.
- 1 Nyakati 24:5takriban 1015 KK
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.
- 1 Nyakati 24:6takriban 1015 KK
Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.
- 1 Nyakati 24:7takriban 1015 KK
Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,
- 1 Nyakati 24:8takriban 1015 KK
ya tatu Harimu, ya nne Seorimu,
- 1 Nyakati 24:9takriban 1015 KK
ya tano Malkiya, ya sita Miyamini,
- 1 Nyakati 24:10takriban 1015 KK
ya saba Hakosi, ya nane Abiya,
- 1 Nyakati 24:11takriban 1015 KK
ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania,
- 1 Nyakati 24:12takriban 1015 KK
ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu,
- 1 Nyakati 24:13takriban 1015 KK
ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu,
- 1 Nyakati 24:14takriban 1015 KK
ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri,
- 1 Nyakati 24:15takriban 1015 KK
ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi,
- 1 Nyakati 24:16takriban 1015 KK
ya kumi na tisa Pethahia, ya ishirini Yehezkeli,
- 1 Nyakati 24:17takriban 1015 KK
ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli,
- 1 Nyakati 24:18takriban 1015 KK
ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
- 1 Nyakati 24:19takriban 1015 KK
Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
- 1 Nyakati 24:20takriban 1015 KK
Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.
- 1 Nyakati 24:21takriban 1015 KK
Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.
- 1 Nyakati 24:22takriban 1015 KK
Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi, kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.
- 1 Nyakati 24:23takriban 1015 KK
Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
- 1 Nyakati 24:24takriban 1015 KK
Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.