Rukia maudhui

circa 1010–970 BC

The Reign of David

David unites the tribes, conquers Jerusalem, and establishes Israel's golden age—even through deep personal failure.

1,230 mistari · 2 vitabu vimehusishwa

Mistari ya kipindi hiki

Chuja kwa kitabu
  1. 1 Nyakati 25:19takriban 1015 KK

    ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12

  2. 1 Nyakati 25:20takriban 1015 KK

    ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12

  3. 1 Nyakati 25:21takriban 1015 KK

    ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12

  4. 1 Nyakati 25:22takriban 1015 KK

    ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12

  5. 1 Nyakati 25:23takriban 1015 KK

    Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12

  6. 1 Nyakati 25:24takriban 1015 KK

    ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12

  7. 1 Nyakati 25:25takriban 1015 KK

    ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12

  8. 1 Nyakati 25:26takriban 1015 KK

    ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12

  9. 1 Nyakati 25:27takriban 1015 KK

    ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12

  10. 1 Nyakati 25:28takriban 1015 KK

    ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12

  11. 1 Nyakati 25:29takriban 1015 KK

    ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12

  12. 1 Nyakati 25:30takriban 1015 KK

    ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12

  13. 1 Nyakati 25:31takriban 1015 KK

    ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.

  14. 1 Nyakati 26:1takriban 1015 KK

    Hii ndiyo migawanyo ya mabawabu: Kutoka kwa wana wa Kora alikuwa: Meshelemia mwana wa Kore, mmoja wa wana wa Asafu.

  15. 1 Nyakati 26:2takriban 1015 KK

    Meshelemia alikuwa na wana wafuatao: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,

  16. 1 Nyakati 26:3takriban 1015 KK

    Elamu wa tano Yehohanani wa sita na Eliehoenai wa saba.

  17. 1 Nyakati 26:4takriban 1015 KK

    Obed-Edomu naye alikuwa na wana wafuatao: Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,

  18. 1 Nyakati 26:5takriban 1015 KK

    Amieli wa sita, Isakari wa saba, na Peulethai wa nane. (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)

  19. 1 Nyakati 26:6takriban 1015 KK

    Shemaya mwanawe pia alikuwa na wana, waliokuwa viongozi katika jamaa ya baba yao kwa sababu walikuwa watu wenye uwezo mkubwa.

  20. 1 Nyakati 26:7takriban 1015 KK

    Wana wa Shemaya ni: Othni, Refaeli, Obedi na Elizabadi; jamaa zake Elihu na Semakia walikuwa pia watu wenye uwezo.

  21. 1 Nyakati 26:8takriban 1015 KK

    Hawa wote walikuwa wazao wa Obed-Edomu; wao na wana wao na jamaa zao walikuwa watu wenye uwezo pamoja na nguvu za kufanya kazi. Wazao wa Obed-Edomu jumla yao walikuwa sitini na wawili.

  22. 1 Nyakati 26:9takriban 1015 KK

    Meshelemia alikuwa na wana na jamaa zake, waliokuwa watu wenye uwezo: jumla yao watu kumi na wanane.

  23. 1 Nyakati 26:10takriban 1015 KK

    Hosa, Mmerari, alikuwa na wana wafuatao: Shimri alikuwa mkuu wao (baba yake alikuwa amemweka yeye kuwa mkuu ijapokuwa hakuwa mzaliwa wa kwanza),

  24. 1 Nyakati 26:11takriban 1015 KK

    Hilkia wa pili, Tabalia wa tatu na Zekaria wa nne. Wana na jamaa za Hosa jumla yao walikuwa watu kumi na watatu.

  25. 1 Nyakati 26:12takriban 1015 KK

    Hii migawanyo ya mabawabu, kupitia wakuu wao, walikuwa na zamu za kuhudumu hekaluni mwa Bwana kama jamaa zao walivyokuwa nazo.