- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
circa 1010–970 BC
The Reign of David
David unites the tribes, conquers Jerusalem, and establishes Israel's golden age—even through deep personal failure.
Mistari ya kipindi hiki
- 1 Nyakati 25:19takriban 1015 KK
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:20takriban 1015 KK
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:21takriban 1015 KK
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:22takriban 1015 KK
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:23takriban 1015 KK
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:24takriban 1015 KK
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:25takriban 1015 KK
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:26takriban 1015 KK
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:27takriban 1015 KK
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:28takriban 1015 KK
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:29takriban 1015 KK
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:30takriban 1015 KK
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
- 1 Nyakati 25:31takriban 1015 KK
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
- 1 Nyakati 26:1takriban 1015 KK
Hii ndiyo migawanyo ya mabawabu: Kutoka kwa wana wa Kora alikuwa: Meshelemia mwana wa Kore, mmoja wa wana wa Asafu.
- 1 Nyakati 26:2takriban 1015 KK
Meshelemia alikuwa na wana wafuatao: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,
- 1 Nyakati 26:3takriban 1015 KK
Elamu wa tano Yehohanani wa sita na Eliehoenai wa saba.
- 1 Nyakati 26:4takriban 1015 KK
Obed-Edomu naye alikuwa na wana wafuatao: Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,
- 1 Nyakati 26:5takriban 1015 KK
Amieli wa sita, Isakari wa saba, na Peulethai wa nane. (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)
- 1 Nyakati 26:6takriban 1015 KK
Shemaya mwanawe pia alikuwa na wana, waliokuwa viongozi katika jamaa ya baba yao kwa sababu walikuwa watu wenye uwezo mkubwa.
- 1 Nyakati 26:7takriban 1015 KK
Wana wa Shemaya ni: Othni, Refaeli, Obedi na Elizabadi; jamaa zake Elihu na Semakia walikuwa pia watu wenye uwezo.
- 1 Nyakati 26:8takriban 1015 KK
Hawa wote walikuwa wazao wa Obed-Edomu; wao na wana wao na jamaa zao walikuwa watu wenye uwezo pamoja na nguvu za kufanya kazi. Wazao wa Obed-Edomu jumla yao walikuwa sitini na wawili.
- 1 Nyakati 26:9takriban 1015 KK
Meshelemia alikuwa na wana na jamaa zake, waliokuwa watu wenye uwezo: jumla yao watu kumi na wanane.
- 1 Nyakati 26:10takriban 1015 KK
Hosa, Mmerari, alikuwa na wana wafuatao: Shimri alikuwa mkuu wao (baba yake alikuwa amemweka yeye kuwa mkuu ijapokuwa hakuwa mzaliwa wa kwanza),
- 1 Nyakati 26:11takriban 1015 KK
Hilkia wa pili, Tabalia wa tatu na Zekaria wa nne. Wana na jamaa za Hosa jumla yao walikuwa watu kumi na watatu.
- 1 Nyakati 26:12takriban 1015 KK
Hii migawanyo ya mabawabu, kupitia wakuu wao, walikuwa na zamu za kuhudumu hekaluni mwa Bwana kama jamaa zao walivyokuwa nazo.