Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Paul: Refers the question as to circumcision to the apostles and elders at Jerusalem

2 mistari · 103 vipengele

Mistari kuhusu Refers the question as to circumcision to the apostles and elders at Jerusalem

  1. Baada ya Paulo na Barnaba kutokubaliana nao kukawa na mabishano makali, Paulo na Barnaba na baadhi ya wengine miongoni mwao wakachaguliwa kwenda Yerusalemu ili kujadiliana jambo hili na mitume na wazee.

  2. Walipofika Yerusalemu, walipokelewa na kanisa na mitume pamoja na wazee, ndipo Paulo na Barnaba wakawaarifu kila kitu Mungu alichokuwa amefanya kupitia kwao.