Mistari ya Biblia kuhusu Paul: Sends Timothy and Erastus into Macedonia, but remains himself in Asia for a season
Mistari kuhusu Sends Timothy and Erastus into Macedonia, but remains himself in Asia for a season
Baada ya mambo haya kutukia, Paulo akakusudia rohoni kwenda Yerusalemu kupitia Makedonia na Akaya. Akasema, “Baada ya kufika huko, yanipasa pia kwenda Rumi.”
Hivyo akatuma wasaidizi wake wawili, Timotheo na Erasto, waende Makedonia, wakati yeye mwenyewe alibaki kwa muda kidogo huko Asia.